Mpenja Tv tunakuletea Mahojiano na wachezaji wa Azam Fc ambao ni Idris Mbombo raia wa Congo na Paul Katema Kutoka Zambia.
.
Wachezaji hawa wakiwa Visiwani Zanzibar siku chache zilizopita, wamenaswa na Camera za Mpenja Tv wakipiga stori za lugha yetu ya Kiswahili.
.
Hakika Utaipenda Video hii.
.
#idrissmbombo #paulkatema #azamfc #mpenjatv
@Tampa Bay Lightning
2 Comments
😁😁😁😁😁😁 naomb namba yake ni mfundishe wa dada kiswahili
Pendeza sana